Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Tamko la Serikali kuhusu kuwaondoa raia wake China

Jumatano , 12th Feb , 2020

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt Damas Ndumbaro, amesema kuwa Serikali haiwezi kuchukua jukumu la kuwaondoa Watanzania walioko nchini China kwa kusikiliza ushauri wa mitandaoni, bali itawaondoa endapo wataalamu kutoka Serikali ya China watashauri hivyo.

Watanzania waishio China wakiomba kurejeshwa nyumbani

Dkt Ndumbaro ameyabainisha hayo wakati akizungumza na EATV&EA Radio Digital, baada ya kuonekana video fupi inayoonesha Watanzania waishio nchini China, wakiomba kurejeshwa nyumbani kutokana na hali ya maambukizi na vifo vinavyotokana na Virusi vya Corona kuongezeka kila uchwao nchini humo.

"Huu ni ugonjwa na hili ni suala la kitabibu hivyo ni vizuri kupata ushauri wa kitabibu, kwamba imefika wakati sasa hawa lazima waondolewe, sasa hivi tunasikia ushauri wa mitandaoni hapana, tukae na wataalamu wa Serikali ya China na waseme sasa hapa ni lazima kuwaondoa" amesema Dkt Damas Ndumbaro.

Mpaka sasa zaidi ya watu 1,000 wamekwishapoteza maisha kutokana na Virusi vya Corona, huku wengine zaidi ya 40,000, tayari wamekwishaathirika na virusi hivyo kwa Nchi ya China pekee.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava