Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

'Tanzania hapana tena kuchezewa' - Magufuli

Alhamisi , 10th Oct , 2019

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, amewataka askari wa wanyamapori kuzingatia maadili ya kazi yao ili kulinda rasilimali za nchi, huku akisisitiza wale wachache wanaoshirikiana na majangili, wafikishwe mahakamani kwa kesi ya uhujumu uchumi.

Rais Magufuli akiwa na Mwenyekiti wa Bodi ya TANAPA Jenerali Mstaafu George Waitara (kulia).

Rais ameyasema hayo kwenye ziara yake mkoani Katavi alipotembelea hifadhi ya Katavi na kujionea shughuli mbalimbali zinazofanyika hapo pamoja na wanyama waliopo hapo.

'Fanyeni kazi, nyie ndio walinzi wa maliasili zetu, Tanzania sio ya kuchezewa tena, wapo wachache wanaoshirikiana na majambazi, wakipatikana wa namna hiyo wapelekeni mahakamani kwenye uhujumu uchumi na kesi iwe kubwa kabisa', amesema Rais Magufuli.

Aidha Rais Magufuli amesisitiza kuwa ili kuleta ufanisi katika ulinzi wa rasilimali za nchi ndio maana akamteua Jenerali Mstaafu George Waitara kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya TANAPA.

'Hapakuwa na sababu ya kumteua mwanajeshi, huyu ni jenerali, amekuwa mkuu wa majeshi nchi nzima na ndio maana tukaanzisha jeshi Usu la kukabiliana na ujangili, kwahiyo fanyeni kazi', ameeleza Rais.
 

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine