Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

''Tanzania imepiga hatua kidijitali'' - Munaku

Jumanne , 19th Oct , 2021

Mkurugenzi wa Tehama na Mwenyekiti wa Kongamano la Tano la Mkutano Mkuu wa Tehama 2021, Mulembwa Munaku, amesema Tanzania kwasasa imepiga hatua kama taifa kwenye matumizi ya Tehama na jitihada zinaendelea kuhakikisha hatua nzuri zaidi inafikiwa.

Mkurugenzi wa Tehama na Mwenyekiti wa Kongamano la Tano la Mkutano Mkuu wa Tehama 2021, Mulembwa Munaku (kushoto) akihojiwa na Irene Tillya.

Munaku ameyasema hayo leo Oktoba 19, 2021 kwenye mahojiano maalumu na East Africa TV na East Africa Radio kueleka Mkutano Mkuu wa Tehama, ambapo amekaribisha wadau wajitokeze kwani kutakuwa na fursa nyingi.

''Tumepiga hatua kama taifa kwenye matumizi ya Tehama na ndio maana mtu anaweza kununua umeme akiwa nyumbani lakini bado hatujafika mwisho ndio tunaelekea huko ndio maana tunakaribisha wawekezaji zaidi kwenye Tehama,'' amesema Mkurugenzi wa Tehama, Mulembwa Munaku.

''Tunahitaji wawekezaji wa vyuo vya Tehama nchini ili kuweza kuendelea kutengeneza wabobezi wa Tehama na kama ambavyo Rais Samia amesema tunakwenda kuwa na chuo kikubwa zaidi Afrika Mashariki,'' - ameongeza Mkurugenzi wa Tehama, Mulembwa Munaku.

Aidha amesema kuwa, ''Kesho Jumatano tutakuwa na mjadala jinsi gani ya kufanya uwekezaji ili tuwe na taifa la kidijitali kwasababu yapo mambo ya msingi ya kufanya ikiwemo kutatua changamoto ya mahitaji ya kitehama ikiwemo mifumo na vifaa''.

Tazama video hapo chini

 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava