Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Tanzania yapata mabilioni bure

Jumanne , 14th Nov , 2017

Wizara ya Fedha na Mipango kwa kushirikiana na ubalozi wa Sweden zimesaini mkataba wa jumla ya shilingi bilioni 435.7 sawa na SEK bilioni 1.6 za Sweden.

Fedha hizo zimetolewa na ubalozi huo kwa serikali ya Tanzania bure ili zikatumike katika miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwa ni pamoja na kusaidia bajeti ya serikali.

Akizungumza leo jijini Dar es salaam wakati wa kusaini mkataba huo, katibu Mkuu wa Wizara hiyo  Dotto James amebainisha kuwa katika upande wa bajeti ya serikali zaidi ya shilingi bilioni 159 sawa na SEK milioni 600 za Sweden zitaelekezwa huko kuanzia mwaka wa fedha wa 2017-2020.

Eneo jingine ambalo imeelezwa fedha hizo zitasaidia ni kuwezesha mpango wa elimu wa matokeo (EPforR) pamoja na kusaidia mpango wa kujua kusoma, kuandika na kuhesabu ambapo jumla ya kiasi cha shilingi bilioni 235 zitaelekezwa huko.

Aidha katibu huyo amesema kuwa kwa kuanza na mwaka wa fedha 2017/2018 nchi ya Sweden itatoa takribani shilingi bilioni 53.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava