Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Tawi la Ccm Mtakuja wapokea tofali 200

Jumapili , 4th Dec , 2022

Kutokana na Ofisi ya Tawi la Mtakuja  la Chama Cha Mapinduzi CCM katika kata ya Kunduchi kufanya vikao katika miti Tawi hilo limepokea msaada wa matofali 200 kutoka kwa mdau wa maendeleo na mwanachama wa Chama Cha Mapinduzi kwa ajili ya ujenzi wa ofisi hiyo.

Akizungumza na EATV jijini Dar es salaam Katibu wa Tawi hilo Sharifa Kitenge amesema wameshukuru kupokea tofali hizo kwani kwa muda mrefu wamekuwa wakitafuta mfadhili kwa ajili ya kupata mdhamini kwa ajili ya ujenzi wa Tawi hilo.

Aidha amesema kuwa matofali hayo yatasaidia kwa kiasi kikubwa katjika ukarabati wa ofisi hiyo ambayo bado inahitaji mamboresho makubwa kwani bado wanafanya vikao katika sehemu zisizo rasmi.

Kwa upande wake mdau  wa maendeleo na Mwanachma wa Chama Cha Mapinduzi Omary Hassan amesema amekabidhi tofali hizo mara baada ya kuona uhitaji wa tofali kwani jengo hilo ni la muda mrefu na limechakaa.

Pia ameongeza kuwa bado kuna uhitaji mkubwa wa vifaa vya ujenzi ili ofisi hiyo ikamilike na iwe katika hali nzuri hivyo amewaomba wadau mbalimbali kujitokeza.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine