Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

TCRA yatoa elimu kwa makundi yenye mahitaji maalum

Ijumaa , 5th Jun , 2015

Mamlaka ya mawasiliano nchini Tanzania TCRA imesema itaendelea kutoa elimu kwa makundi yote yenye mahitaji maalum hapa nchini kwa lengo la kuhakikisha yanapata huduma za mawasiliano bila ya kubaguliwa.

Mkurugenzi wa idara ya watumiaji na watoa huduma za mawasiliano kutoka TCRA Dkt. Raymond Mfungahama amesema hayo leo jijini Dar es salaam wakati TCRA ilipokutana na jamii ya watu wasiona kwa lengo la kuwapa elimu ya namna ya matumizi bora ya mitandao.

Dkt. Raymond amesema elimu wanayopewa kundi hilo haina tofauti na ile wanayopewa watu wengine hivyo ni wajibu wa wananchi kutambua kwamba kila kundi lina haki zake za kimsingi na kisheria.

Amesema kundi la watu wenye ulemavu lina nafasi yake katika jamii lina haki kama ilivyo kwa wengine ya kupata habari kupitia njia yoyote ya mawasiliano hivyo ni wajibu wa TCRA kutoa elimu kama hiyo ili kuelewa namna watakavyoshiriki kupata habari kwa njia ya mitandao

HABARI ZAIDI

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90