Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

'Teleza' azidi kuleta hofu Kigoma Meya atoa neno

Jumanne , 18th Dec , 2018

Meya wa Manispaa ya Kigoma Ujiji, Hussein Ruhava amekiri kuwepo kwa sintofahamu juu yauwepo wa mtu anayefahamika kwa jina la 'Teleza' ambaye amedaiwa kuwaingilia kimwili wanawake wasiokuwa na waume usiku kwenye wilaya hiyo bila ridhaa yao.

Wananchi wakiwa kwenye taharuki

Kwa mujibu wa Meya huyo, malalamiko juu ya uwepo wa 'Teleza' yalifika kwenye Baraza la Madiwani ambapo waliagiza Jeshi la Polisi kulishughulikia suala hilo.

Akizungumza kwenye kipindi cha East Africa Breakfast cha East Africa Redio Meya Ruhava amesema tukio hilo halina uhusiano wowote na imani za kishirikina bali vilikuwa ni vitendo vya kiuhalifu.

"Ni kweli mwanzoni mwa mwaka huu tulipokea taarifa ya kuingiliwa kwa wanawake bila ridhaa yao, lilitufikia kwenye vikao vya Baraza la Madiwani na tuliamuagiza OCD (Mkuu wa Polisi Wilaya) ayafanyie kazi na walijitahidi kulizima hilo zoezi." amesema Meya Ruhava

"Walipochunguza zaidi wakawagundua watu wanaofanya vitendo hivyo na waligundua kuwa halina uhusiano wowote na vitendo vya kishirikina, bali kuna vijana ndiyo walikuwa wakilifanya na juzi alhamisi na ijumaa lilibuka tena na Jeshi la Polisi linaendelea kuwatafuta vijana hao," ameongeza Meya huyo.

Wiki iliyopita kupitia Mkuu wa wilaya ya Kigoma Mjini Samson Anga alieleza kutolitambua suala hilo.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava