Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Tembo kuanza kufungwa mikanda ya GPS

Jumanne , 14th Mei , 2019

Zaidi ya shilingi milioni 800 zinatarajiwa kutumika katika zoezi la kuwafunga mikanda ya mawasiliano ya kijiographia (GPS) tembo ambao wanapatikana hifadhi ya jamii ya wanyamapori ya Makao na Pori la Akiba la Maswa.

Tembo akiwa amevishwa.

Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamis Kigwangalla amezindua mpango huo katika eneo la Makao WMA ambalo limewekezwa kwa kampuni ya Mwiba Holding, moja ya kampuni zilizochini ya Taasisi ya Friedkin Conservation Fund (FCF).

Waziri Kigwangala amesema vifaa hivyo vya GPS vitawezesha tembo kufuatiliwa mienendo yao na kudhibitiwa matukio ya Tembo kuvamia mashamba na masuala ya ujangili.

"Mpango huu pia kutakuwa na uzio wa technolojia ya kielekroniki, ambao utawezesha kuonekana tembo ambao wanatoka maeneo ya hifadhi kabla ya kufanya madhara", amesema Dk. Kigwangalla.

Mtafiti wa Tawiri Dk. Emmanuel Masenga amesema hadi sasa tembo 95 wamefungwa mikanda ya GPS maeneo mbali mbali ya hifadhi nchini.

Akizungumza wakati wa zoezi hilo, Mkuu wa mkoa wa Simiyu, Anthony Mtaka amesema mpango huo wa kuwafunga tembo GPS utasaidia kuondoa migogoro baina ya wa hifadhi na jamii.

HABARI ZAIDI

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji