Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Tisa wajeruhiwa vurugu za uchaguzi Mbeya

Jumamosi , 19th Sep , 2015

Watu tisa wamejeruhiwa vibaya na magari mawili kuharibiwa katika vurugu ambazo zimetokea jijini Mbeya zikihusisha wafuasi wa chama cha mapinduzi, CCM, na wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA.

Kamanda wa polisi mkoa wa mbeya, kamishna msaidizi mwandamizi wa polisi, Ahmed Msangi.

Tukio hilo limetokea baada ya msafara wa mgombea ubunge katika jimbo la Mbeya mjini, Joseph Mbilinyi maarufu kwa jina la Mr. II Sugu kupita jirani na mahali ulipokuwa ukifanyika mkutano wa mgombea ubunge wa CCM, Sambwe Shitambala.

Kamanda wa polisi mkoa wa Mbeya, kamishna msaidizi mwandamizi wa polisi, Ahmed Msangi amesema vurugu hizo zimetokea katika eneo la Mbata, kata ya Ghana jijini Mbeya wakati msafara wa mgombea ubunge wa CHADEMA, Joseph Osmond Mbilinyi ukipita katika eneo hilo ukielekea eneo la Nsowo kwa ajili ya kufanya kampeni.

Kuhusu hatua ambazo zinachukuliwa na jeshi la polisi ili kuhakikisha kuwa kampeni za uchaguzi mkuu zinaendelea na kumalizika kwa amani, kamanda Msangi anasema kuwa watuhumiwa wote bila kujali hadhi zao watafikishwa mahakani wakati wowote baada ya majalada yao kupitiwa na mwanasheria wa serikal

Aidha kamanda Msangi amevitaka vyama vyote vya siasa vinavyoshiriki uchaguzi mkuu kuzingatia ratiba ya kampeni ambayo imetolewa na tume ya taifa ya uchaguzi ili kuepusha migongano isiyokuwa ya lazima ambayo pia inaweza kuhatarisha amani kwa jamii.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali