Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Tokomeza kipindupindu yazua tafrani Morogoro

Ijumaa , 22nd Jan , 2016

Mgambo wa Manispaa ya Morogoro wakishirikiana na Jeshi la Polisi pamoja na JWTZ wametumia nguvu kuwaondoa wafanyabiashara wa vyakula na matunda wanaofanya biashara hiyo pembezoni mwa barabara zikiwa ni jitihada za kutokomeza kipindupindu.

Mgambo wa Manispaa ya Morogoro wakiwakamata kwa nguvu baadhi ya Wananchi waliokaidi zoezi la kuondolewa kwa mama ntilie katikati ya Mji

Operesheni hiyo imekuja kufuatia mkoa wa Morogoro kuwa na idadi kubwa ya wagonjwa wa kipindupindu kati ya mikoa 10 inayokabiliwa na ugonjwa huo.

Baadhi ya wafanyabiashara na mashuhuda wa operesheni hiyo wameeleza kusikitishwa na zoezi lililofanywa na mgambo hao kwa wamewafanyia vitendo vya udhalilishaji kwa kuwapiga bila huruma na kwamba wangetumia utaratibu mwingie bila kuwabughudhi wafanyabiashara.

Wakizungumzia operesheni hiyo afisa afya manispaa ya Morogoro Bw. Gabriel Malisa na afisa tarafa Morogoro Bw. Pakapakara Mulenge wamesema operesheni hiyo inalenga kutokomeza ueneaji wa ugonjwa wa kipindupindu na kwamba zoezi hilo ni endelevu hadi ugonjwa huo utakapoisha.

HABARI ZAIDI

Rais wa Iran Ebrahim Raisi

Rais wa Iran afariki kwa ajali ya Helikopta

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12