Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

TRA yapania kuongeza makusanyo mwaka huu

Ijumaa , 21st Nov , 2014

Mamlaka ya Mapato Tanzania imesema kuwa inakusidia kuongeza ufanisi wa ukusanyaji kodi hadi kufikia makusanyo ya shilingi trilioni 11.3 mwaka huu.

Waziri wa zamani wa mambo ya ndani wa Tanzania Shamsi Vuai Nahodha

Waziri wa zamani wa mambo ya ndani wa Tanzania Shamsi Vuai Nahodha ameitaka Mamlaka ya Kodi ya Mapato nchini Tanzania TRA kuondoa urasimu katika mchakato wa Ukusanyaji wa Kodi na kupunguza wingi wa kodi ili kurahisisha mamlaka hiyo kukusanya kodi ili kufikia malengo na kuiwezesha nchi kupata mapato mengi.

Nahodha ametoa kauli hiyo katika maahimisho ya siku ya Mlipa kodi na kuainisha kuwa ni lazima Serikali ihakikishe huduma muhimu kama dawa katika hospitali,madawati mashuleni,maji na umeme vinapatikana kwa uhakika ili kuonyesha thamani ya kodi ya wananchi na kuwahamasisha watu kulipa kodi.

Kituo cha Television cha ITV kimeshinda tuzo kwa vyombo vya Habari ,wakati Vodacom imeshinda kati ya makampuni ya simu, TBL na TDL vimeshinda kwa makampuni ya vinjwaji na NMB imeshindwa katika sekta ya Mabenki.

TRA imesema inakusidia kuongeza ufanisi wa ukusanyaji kodi hadi kufikia makusanyo ya shilingi trilioni 11.3 mwaka huu.

Wakati huo huo, shirika la viwango nchini Tanzania TBS limewataka wafanyabiashara wadogo na wakubwa nchini kuhakikisha wanazalisha bidhaa ambazo zinahimili soko la ndani na la kimataifa.

Akizungumza jijini Dar es salaam leo ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya siku ya viwanda barani Afrika, Afisa udhibiti na ubora wa TBS Bw. Donald Manyama amesema wafanyabiashara wengi wa Tanzania wanashindwa kuhimili soko la kimataifa kutokana na kutokuwa na ubora wa bidhaa zao.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava