Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Tukimkuta mtu hana kitambulisho ni kosa" - Mwanri

Jumapili , 10th Feb , 2019

Mkuu wa mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri, amewataka wakuu wa Wilaya waliopo ndani ya mkoa huo kuhakikisha wanagawa vitambulisho vya wajasiriamali na kuwahimiza watu wengi zaidi kuchukua, wasipofanya hivyo basi wawatambue watu hao kuwa ni wavunjifu wa sheria.

Mwanri ametoa kauli hiyo alipokuwa akigawa vitambulisho vya wajasiriamali kwa wakuu wa wilaya mkoani humo, na kuwahimiza kwamba ni lazima wahakikishe wanawahimiza wahusika kuchukua.

Amewataka wakuu hao wa Wilaya kuwatafuta watu wasio navyo na kuwahoji wanafanya shughuli gani mjini, kwani watu wasiokuwa na shughuli yoyote huenda ndio watu wanaouvunja sheria na kuwaibia wengine.

Wapo watu watakaokwambia sina kazi, kataa mwambie hapa kazi tu, huna kazi kosa la pili, la kwanza nimekukuta huna kitambulisho, la pili umesema huna kazi, unaishi ishije, unakula wapi unalala wapi hapa mjini, tunataka uchukue kitambulisho, ili uende ukabangaize kwa ajili ya kutafuta chakula kwa watoto wako, uweze kupata nguo kwa ajili ya watoto wako”, amesema Mwanri.

Mwanri ameendelea kusema, “kwa hiyo tukimkuta mtu hapa mjini hana kitambulisho ni kielelezo kwamba hana shughuli yoyote ni kosa lingine, unambana, unamkuta hashughuliki lakini kavaa vuzuri, tunamuuliza unapata wapi mapato yako, tunajua huyu anaweza akawa muhujumu uchumi, au anapita nyumba za watu. Huna kitambulisho, hufanyi kazi, unaishi vizuri ni kosa lingine, unabambika makosa mpaka, wewe unaishi hapa mjini mtaa mmoja adi mwingine unadoea, kosa lingine, makosa karibu matano hapo”.

RC huyo pia amewasisitiza Wakuu hao wa Wilaya kuhakikisha fedha za kodi kwa wale wafanya biashara wasio na vitambulisho zinakusanywa ipasavyo, kwani wao ndio wawakilishi wa serikali kwenye maeneo yao.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava