Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Tundu Lissu kuanza safari yake ya Urais leo Dodoma

Jumamosi , 8th Aug , 2020

Leo Agosti 8, 2020 Mgombea wa Urais kupitia CHADEMA Tundu Antipas Lissu, atafika katika ofisi za NEC Jijini Dodoma, kwa ajili ya kuchukua fomu ya kuomba kuteuliwa katika nafasi hiyo.

Tundu Lissu

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Msemaji wa CHADEMA Tumaini Makene, amesema zoezi  la kuchukua fomu litaambatana na shughuli za kutafuta wadhamini ambapo leo wataanzia katika ofisi za kanda ya kati zilipo jijini Dodoma.

Makene amesema kuwa baada ya shughuli zote hizo kumalizika,Kesho Agosti 9, 2020 watahamia katika mkoa wa Singida kwa ajili ya kuendelea na zoezi la kutafuta wadhamini, lakini pia itahusisha ujio wa Lissu katika eneo alilozaliwa tangu alipoondoka baada ya kushambuliwa na risasi.

“Shughuli zitaanza leo hakuna kitu kitalala na baada ya kuchukua fomu tutatafuta wadhamini ambapo leo ni hapa Dodoma baada ya hapo tutahamia Singida, tutatafuta wadhamini na pia ni ‘home coming’ ya Tundu Lissu na itakuwa ni siku mbili mana ni nyumbani baada ya jaribio la mauaji dhidi yake’’amesema Makene.

Zoezi hilo litahusisha viongozi na wanachama  wa CHADEMA ambapo Tundu Lissu ataambatana na Mgombea Mwenza Salum Mwalim pamoja na wananchi wengine watakaojitokeza.
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava