Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Tusione kifungashio kisichokuwa na viwango - NEMC

Jumapili , 18th Apr , 2021

Baraza la Uhifadhi na Usimamizi wa Mazingira nchini (NEMC) limesema kuwa kuanzia kesho Jumatatu ya April 19 vifungashio visivyokuwa na ubora ambavyo vimezuiwa kutumika havitakiwi kuonekana sokoni na endapo Mfanyabishara au mteja akimatwa adhabu yake ni faini au kifungo jela.

Kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa NEMC Dkt. Samuel Gwamaka, kushoto ni mifano ya vifungashio vya plastiki (picha kutoka mtandaoni)

Akizungumza na wanahabari Mkurugenzi Mkuu wa NEMC Dkt. Samuel Gwamaka amesema kuwa muda uliotolewa na Baraza umekwisha hivyo kinachoendelea sasa ni utekelezaji kama walivyokubaliana na kwassa tiyarai uelewa juu ya vifungashio visivyokuwa na viwango ni vipi kimeshaeleweka 

"Tunaamini kabisa kwamba kwenye masoko, viwanda hatutegemei kuona kifungashio kisichokuwa na kiwango au anuani ya mtengenezaji, kisochukuwa na ruhusa ya tbs,  kuanzia jumatatu tusione kifungashio kisichokuwa na kiwango elimu tumeiotoa na tunaendelea kuitoa, tarehe 8 amabyo ilikuwa mwisho ishapita sasa lakini tumejaribu kuwa waungwana tunaelimisha watu, kuanzia jumatatu tusikione hata hiki kimoja tukikikuta utachukuliwa hatua kwa mujibu wa kanuni la katazo la mifuko ya plastiki na vifungushio la mwaka 2019" amesema Dkt.Gwamaka

Amesema kuwa vifungashio vipya ni rafiki kwa Mazingira hivyo kwa kuzingatia hilo Watanzania kwa pamoja watayatunza Mazingira na iliviingie sokoni lazima vifungashio visivyokuwa na viwango vitoke sokoni

"Ili vifungashio vilivyokidhi viwango viingie sokoni lazima vifungashio visivyokuwa na viwango vitoke sokoni, sasa wewe ulienavyo wasilisha hivyo vifungashio haraka sana kwenye ofisi za NEMC, ofisi za kata au mtendaji ikifika jumatatu tusione kifungashio kisichokuwa na viwango" amesema Dkt.Gwamaka
 

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu