Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Tutaitisha baraza kujadili kuhusu Zanzibar- Mziray

Ijumaa , 15th Jan , 2016

Mwenyekiti wa baraza la vyama vya siasa nchini Peter Kuga Mziray amesema wanajipanga kukutana na kuitisha baraza la mashauriano baina ya vyama vya siasa na Tume ya uchaguzi Zanzibar ZEC wakati wowote visiwani Zanzibar kwa ajili ya majadiliano.

Mwenyekiti wa Baraza la Vyama vya Siasa,Peter Kuga Mziray.

Mziray amesema hayo kupitia kipindi cha HOT MIX kinaruka EATV kila siku (Jumatatu hadi Ijumaa) saa 12:00 jioni na kuongeza tayari walishatoa muda wa kutosha kwa vyama vya CCM na CUF kutatua tatizo hilo kwa amani na maelewano lakini vimeshindwa kutumia busara kumaliza tatizo hilo.

Aidha Bw. Mziray ameongeza kuwa imewalazimu baraza hilo kuingilia kati suala la utatuzi wa mgogoro huo baada ya kuona mvutano ukizidi bila ya kupatikana suluhu kwa wakati muafaka hivyo watatoa mapendekezo ya kutatua tatizo la mgogoro wa kisiasa visiwani humo.

Mwenyekiti huyo amesema kuwa baraza hilo la usuluhishi linaundwa na vyama vyote vyenye usajili nchini ambalo litazingatia zaidi maslahi ya taifa kwa ujumla na kukuza demokrasia ya Tanzania Bara na visiwani bila kuleta machafuko

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava