Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

'Tutawafanyia jambo Mabaharia' - BAKITA

Jumatano , 11th Sep , 2019

Msanifu lugha Mkuu kutoka Baraza la Kiswahili Tanzania (BAKITA), Consolata Mushi, amesema BAKITA wanaweza kupanua matumizi ya neno baharia, tofauti na maana halisi ya sasa.

Consolata Mushi amesema moja ya sababu ambayo itawafanya kuongeza maana ya neno hilo ni endapo litasambaa kwa watu wengi zaidi na litadumu kwa muda mrefu.

Akizungumza kwenye kipindi cha East Breakfast cha East Africa Radio, amesema kuwa "kwa namna wanavyotumia sasa lazima tufanye tathmini, kwa sababu kama umepanua maana ni kama kiongozi umefanya jambo kwenye jamii, lazima tutathamini kwa upana wake".

"Upanuzi wa maana utawekwa kwenye kamusi kama utaleta mashiko, kama hautaleta mashiko utaachwa tu upite, kama misemo mingine inavyopita." amesema Consolata Mushi.

Kwa sasa usemi wa neno baharia umekuwa ukitumiwa na watu wengi, kwa kile wanachokieleza kuwa neno hilo, ni ishara ya mtu mpambanaji kwenye eneo fulani kwa ajili ya watu.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto