Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Tuthamini yetu, tusahau ya wenzetu - Dkt Shein

Jumapili , 14th Oct , 2018

Rasi wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Dkt Ali Mohamed Shein amezitaja sifa tatu za hayati Mwalimu Julius Nyerere wakati wa uhai wake ambazo zimepelekea mpaka sasa Tanzania kuendelea kuenzi fikra za kiongozi huyo.

Rais wa serikali ya mapinduzi ya Zanzibar, Dkt Ali Mohamed Shein

Dkt Shein amezitaja sifa  hizo akiwa mkoani Tanga wakati wa mahitimisho ya kilele cha miaka 19 ya kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere, kilele cha maadhimisho ya mwenge wa uhuru na kufunga kwa wiki ya vijana kitaifa mkoani humo.

Miongoni mwa sifa alizozitaja Dkt Shein ni pamoja na mwalimu alikuwa ni kiongozi anayependa Umoja na Mshikamano.

Amesema kiongozi huyo alikuwa muumini mzuri wa ujamaa na mshikamano wa pamoja kulikopelekea kuzalishwa kwa muungano wa Tanganyika na Zanzibar.

Mzalendo, amesema sifa nyingine iliyokuwa kwa kiongozi huyo muasisi wa taifa ni kuwa mtu mwenye uchungu na taifa lake kwa kuhamasisha watanzania kuenzi tamaduni za asili.

Mwanafalsafa, aidha pia Dkt Shein amesema watanzania hatuna budi kumuenzi kwa sababu ameacha falsafa ambazo zinaisaidia Tanzania kwa sasa na miaka mingi ijayo.

"Mwalimu Nyerere alionesha namna alivyotaka tuwe wazalendo na taifa letu, hivyo kila wakati tunapomkumbuka Mwalimu, lazima tuyakumbuke na tuyapende yaliyo yetu kwa kuthamini kilicho chako na kusahau cha mwenzako", amesema Dkt Shein.

Akitaja mafanikio ya mbio za mwenge mwaka huu, Dkt Sheinamesema,"mbio za mwenge zinatupa fursa kwa nchi yetu kidiplomasia na mataifa ya nje kutokana na historia yetu ya kupigania uhuru wa mataifa ya nje, na inaambatana na uzinduzi wa miradi mbalimbali ya maendeleo ambayo kwa miaka 3 imezindua miradi 1414 yenye thamani ya bilioni 67".

Kuhusiana na suala la vijana Dkt amesema, "serikali zetu mbili tutaendelea kuboresha elimu bora kwa vijana na kuhamasisha ubunifu, ili kupunguza tatizo la  ajira kwa vijana, tutandelea kuwahimiza wadau kuwekeza kwenye elimu".

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu