Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Tuvumiliane tu" - Manara

Ijumaa , 22nd Jun , 2018

Mkuu wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano cha Klabu ya Simba SC, Haji Manara amewataka wafuasi wake wanamfuatilia kwenye mitandao yake ya kijamii kumvumilia katika kipindi hichi cha kombe la dunia kwa kuonyesha mapenzi yake kwa mchezaji Cristiano Ronaldo kutoka timu ya Ureno.

Mkuu wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano cha Klabu ya Simba SC, Haji Manara.

Manara ameamua kumwaga povu hilo baada ya kuonyesha mapenzi yake kwa Ronaldo ambaye ameonyesha kung'aa sana katika kombe hili la dunia huku mpinzani Lionel Messi akionekana kujikongoja kutokana na Timu yake kuendelea kufanya vibaya tangu kuanza kwa mashindano hayo.

"Guys kuna kitu naomba mkielewa hususani wale wasioelewa maana ya ushabiki, duniani kote kuna aina mbili ya mashabiki kwa hawa watu wawili na mimi ni team Ronaldo..na raha ya ushabiki ni kuzodoana..sasa Team Messi mmepanic kama mmefumaniwa jamani!" Manara

"Najua Messi ni mchezaji bora kama Ronaldo..but msilazimishe sote tupende mtakacho hii ndio raha ya ushabiki kama ilivyo Simba na Yanga".

Kwa  kusisitiza Manara amesema "Tuvumiliane na msijaribu kunipangia cha kushabikia na kupost..hii si acc ya Simba wala ya mtu yoyote ni yangu binafsi..sichangiwi na mtu bando".

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto