Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Uamuzi malipo ya waliopisha ujenzi Terminal III

Jumatatu , 19th Aug , 2019

Hatimaye wananchi  wa Kipunguni waliopisha upanuzi wa Jengo la tatu la Abiria katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere,  wameanza kugawiwa maeneo yao hii ni baada ya kuwepo kwa mgogoro wa makubaliano kati ya kampuni ya kupima viwanja ya Tanzania Remix na wamiliki halali.

Moja ya majengo Terminal

Hayo yamebainishwa na Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Atashasta Nditiye, wakati akizungumza na EATV & Radio Digital na kusema kuwa, hadi sasa takribani viwanja zaidi ya 400 vilivyopo kata ya Msongola  vimekwishagawiwa.

''Sisi Tanzania Remix walitupatia baadhi ya viwanja na  bado tunawadai vichache sana na wako kwenye taratibu za mwisho za kuhakikisha,  hivyo vichache vilivyobakia kati ya 537 vinakamilika ili wananchi wale waliopisha upanuzi wa kiwanja cha ndege waweze kupatiwa viwanja vyao'',  amesema Naibu Waziri.

Serikali kupitia Mamlaka ya Viwanja vya Ndege nchini (TAA), imekwishailipa Kampuni ya Tanzania Remix kiasi cha shilingi bilioni 3.7 kwa ajili ya viwanja 537,  vitakavyolipwa fidia kwa wananchi wa Kipunguni na Kigilagila waliopisha mradi huo.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava