Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Uchunguzi wa kina waombwa ufanyike kifo cha Askofu

Jumatatu , 5th Dec , 2022

Vyombo vya dola vimetakiwa kufanya uchunguzi wa kina wa kifo cha Askofu mstaafu Boniface Kwangu, wa kanisa la Anglikana Diocese ya Victoria Nyanza, anayedaiwa kupotea tarehe 28 na mwili wake kukutwa ukielea ndani ya maji kandokando ya Ziwa Victoria karibu na linapojengwa daraja la JPM.

Askofu mstaafu Boniface Kwangu, aliyefariki dunia

Kauli hiyo imetolewa na Askofu Mkuu wa Kanisa la Anglikana Tanzania, Mhimbo Mndolwa, wakati mwili wa Askofu Mstaafu Kwangu ukiagwa ndipo akaomba uchunguzi wa kina ufanyike ili kuwababini waliofanya mauaji hayo ya kutisha

"Tunaiachia serikali kwa wahusika wa kifo cha Askofu Mstaafu Kwangu kama kuna aliyehusika basi sheria ichukue mkondo wake," amesema Askofu Mndolwa

Akisoma risala ya marehemu Askofu Mstaafu Kwangu, Benedict Kwangu, amelishukuru jeshi la polisi kwa kushirikiana na wavuvi wa eneo hilo kuweza kufanikisha kuupata mwili wa Askofu huyo.
 

HABARI ZAIDI

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava