Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ufaulu wawa kikwazo vyuo vikuu

Jumatano , 18th Oct , 2017

Kaimu Katibu Mtendaji Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania TCU, Prof. Eleuther Mwageni amesema ufaulu wa wanafunzi wanaoomba kujiunga na vyuo ndio imekuwa changamoto kwenye kuchagua vyuo na kozi za kwenda kusomea.

Prof. Mwageni amesema hayo leo baada ya kufunguliwa kwa awamu ya tatu ya udahili ambayo itawahusu wanafunzi ambao tayari wameshaomba na sio waombaji wapya. Awamu ya tatu imeanza leo Oktoba 18 hadi 22.

Katika kueleza changamoto ambazo tume inakutana nazo kwa waombaji ni namna ya kuzingatia ufaulu wao pamoja na kozi husika sambamba na chuo anachoomba.

“Kwa awamu mbili za awali tatizo kubwa limekuwa ni ufaulu, unakuta mtu ana daraja la kwanza lakini ana ‘C’ tatu mwingine ana daraja hilohilo lakini ana ‘A’ tatu, sasa mkiomba kozi moja na inahitaji watu kumi unafikiri mwenye ‘C’ atachaguliwa halafu mwenye ‘A’ tatu aachwe?, sio rahisi sasa waombaji wanashindwa kuzingatia ufaulu wao na idadi ya watu wanaohitajika kwenye kozi hiyo ndani ya chuo anachoomba”, amesema Mwageni.

Aidha Kaimu Katibu huyo amesisitiza waombaji kutembelea vyuo walivyoomba ili kujua kama wamechaguliwa au la, kisha kuomba tena na kama wamechaguliwa zaidi ya chuo kimoja basi wachague chuo kimoja ili kuirahisishia Tume.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava