Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Uharibufu wa ardhi tishio la maendeleo ya kiuchumi

Alhamisi , 21st Mei , 2015

Serikali imesema kuwa uharibifu wa ardhi ni tishio kubwa kwa maendeleo ya kijamii na kiuchumi na unasababisha kupungua kwa uzalishaji wa chakula, kuzorota kwa mazingira na kupotea kwa viumbe hai.

Waziri wa Nchi , Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira Dkt Binilith akizunguza na waandishi wa habari.

Kauli hiyo imetolewa jana na Waziri wa nchi ofisi ya makamu wa Rais (Mazingira) Dk, Binilith Mahenge wakati wa uzinduzi wa taarifa ya program ya taifa ya kukabiliana na kuenea kwa hali ya jangwa na ukame, mwongozo wa kuhuisha program ya taifa ya kupambana na kuenea kwa hali ya jangwa katika sera, mipango na program ya kisekta, taarifa ya hali ya uharibifu wa ardhi nchini na kitabu cha mbinu bora ya usimamizi endelevu wa ardhi mjini hapa.

Dk, Mahenge amesema kuwa robo ya uso wa dunia inatishiwa na kuenea kwa hali ya jangwa na eneo la zaidi ya hekta 3.2 bilion tayari limeathirika hali inayosababisha changamoto kubwa za kiuchumi, kijamii na kimazingira kwa zaidi ya watu million 900 duniani kote ambapo barani Afrika pekee tishio la jangwa ni wastani wa aslimia 73.

Amesema Jitihada za kukabiliana na uharibifu wa ardhi kwa kiasi zinakwamishwa na ukosefu wa takwimu za kutosha na za kuaminika kuhusu kiwango na ukubwa wa tatizo

Amengeza kuwa, Katika ngazi ya kitaifa inakadiriwa kuwa karibu asilimia 75 ya nchi ni kame, ambapo katika baadhi ya maeneo uharibifu wa ardhi ni wa kiasi kikubwa na unaendelea kupunguza tija ya ardhi

Ameyataja maeneo yaliyoathirika kuwa ni pamoja na mikoa ya Dodoma, Shinyanga, Simiyu, Singida, Mwanza, Mara, Tabora, Kilimanjaro, Manyara na Arusha.

Kwa upande wake Katibu wa Makamu wa Rais Mazingira, Sazi Salula alisema kuwa jumla ya dola za Marekani billion 10.2 zinakadiriwa kupotea kila mwaka kutokana na uharibifu wa ardhi nchini.

Hata hivyo amesema kuwa serikali imeshachukua hatua mbalimbali za kupambana na uharibifu wa ardhi zikihusisha uandaaji na utekelezaji wa sera, mikakati na mipango mbalimbali ya Kitaifa kukuza mbinu endelevu za usimamizi wa ardhi na uboreshaji wa mifumo ya usimamizi wa mifugo.

Pamoja na jitihada hizo tatizo la uharibifu wa ardhi na madhara yake bado yameendelea kuwepo hali hii inatoa wito wa juhudi zaidi za pamoja ili kupunguza ukubwa wa tatizo.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali