Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ukarabati soko la Kariakoo kuwa la Kimataifa

Jumapili , 12th Sep , 2021

Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa amesema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan leo Jumapili Septemba 12, 2021 atapokea taarifa juu ya maandalizi yanavyokwenda na juhudi mbalimbali katika kurekebisha soko la Kariakoo.

Soko la Kariakoo lilipoungua na moto

Msigwa ameyasema hayo leo Jumapili Septemba 12, 2021 jijini Dodoma wakati akitoa taarifa ya wiki, ambapo ameelza kuwa lengo la serikali ni kulifanya soko la Kariakoo kuwa la kimataifa kama masoko mengine duniani.

''Wiki hii kumekuwa na mjadala juu ya Soko la Kariakoo naomba kuwaambia kwamba maandalizi ya kulikarabati soko hilo yanaendelea, lengo la serikali ni kuhakikisha baada ya ajali ile ya moto, soko la Kariakoo lirudishwe katika sura ya soko la kimataifa,'' amesema Gerson Msigwa, Msemaji Mkuu wa Serikali.

Ameongeza kuwa, ''lengo letu sasa ni kwamba soko la kariakoo litakaporudi liwe ni la kimataifa, soko ambalo linaendeshwa kama masoko mengine duniani, kama ni biashara saa 24 zifanyike mazingira yawe salama''.
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava