Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ukatili wa watoto 'wamuogopesha' Waziri Ummy

Ijumaa , 24th Mei , 2019

Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na watoto, Ummy Mwalimu amesema yeye ni miongoni mwa wazazi ambao wamekuwa wakiwakagua watoto wao mara kwa mara ili kujua kama wamefanyiwa vitendo vya ukatili.

Waziri Ummy ametoa kauli hiyo Bungeni wakati wa muendelezo wa vikao vya Bunge ambapo alikuwa akijibu swali la Mbunge wa Rombo, Joseph Selasin ambaye alihoji juu ya wazazi kupewa elimu ya kuzungumza na watoto wao.

Akijibu swali hilo, Ummy Mwalimu amesema, "wazazi tutimize wajibu wetu kwa watoto, mimi namkagua binti yangu, lazima tuwakague hawa watoto wa miaka 3 walau muogeshe utajua anachangamoto gani, tukiwa bize kutafuta hela watoto wanaharibika, mtoto analawitiwa miezi 3 mzazi hajui."

"Mwananchi yeyote ambaye ana taarifa kuhusiana na ukatili wa mtoto apige simu 116 itapokelewa na taarifa inafika kwenye vyombo vya Serikali, na itafanyiwa kazi, tumeanzisha madawati ya jinsia kwenye Jeshi la Polisi yapo madawati zaidi ya 350." ameongeza Waziri Ummy.

Kwa sasa Bunge linaendelea jijini Dodoma ambapo mawaziri mbalimbali wameendelea kuwasilisha makadirio ya bajeti zao kwa mwaka wa fedha 2018/2019.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava