Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

UKAWA kukirudisha kiwanda cha chai Njombe

Jumatatu , 14th Sep , 2015

UMOJA wa katiba ya wananchi UKAWA wamesema kuwa wakiingia madarakani wataanza kushugulikia kiwanda cha chai cha Ivyulu, Lupembe ambacho kimefungwa kutokana na mgomo wa wananchi kuchuma chai na kuwapo kwa kesi mahakamani.

Mgombea Mwenza wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Juma Duni Haji

Hayo yamebainishwa na mgombea mwenza wa urais CHADEMA, chini ya UKAWA Juma Duni akiwa katika kampeni za uchaguzi katika jimbo la Lupembe mkoani Njombe ambapo wananchi waliulizwa juu wa kero walizonazo katika jimbo hilo.

Duni amesema kuwa wananchi wa Lupembe wakiwachagua UKAWA mwezi Disemba mwaka huu kiwanda hicho kitaanza kushughulikiwa na kuanza kufanya kazi na vijana wa eneo hilo kuanza kupata ajira katika kiwanda cha nyumbani huku wazazi wao kuanza kuingiza fedha kutokana na uuzaji wa chai.

Amesema wakichagua Ukawa na kuwapelekea mgombea ubunge wa Ukawa, anaye gombea kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, Edwin Swale na madiwani wake alisema kuwa mbunge wao apeleke matatizo yao ya kiwanda na mendine ili yaanze kushughulikiwa na kuanza kunufaika na kiwanda hichio.

Awali wananchi walipo pewa nafasi ya kuyasema matatizo yanayo wakabili mmoja wa wananchi Magreth Kabelege amesema kuwa katika jimbo hilo wanakabiliwa na changamoto ya kufungiwa kiwanda chao ambacho walikuwa wakikitegemea kwa kuingiza kipato chao cha kila siku.

Mgombea wa Ubunge Edwin Swale amesema kuwa akipewa kura za kutosha na wananchi wa jimbo hilo atahakikisha kuwa wananchi wanapata kiwanda hicho kwa kupeleka kwa ngazi ya juu ili kishughulikiwe na kuanza kuingiza kipato chao na kufanya maisha kuwa rahisi na vijana kuwa na ajira.

Amesema kuwa wananchi wampe kura za kutosha katika ili kuweza kuingia bungeni na kutetea maslahi ya jimbo lake na huku akisema kuwa wananchi wa jimbo hilo wanatarajiwa kuingizwa katika mtego wa deni kubwa na moja ya kiwanda ambacho kinatarajiwa kuanzishwa katika maeneo yao.

Amesema kuwa wananchi hao wanatarajia kusainishwa mkataba na kiwanda cha chai ambacho wananchi watakopeshwa hisa na baadaye wataanza kudaiwa pesa nyingi ambazo zitakuwa ni mzigo.

HABARI ZAIDI

Bajaji iliyotumika kubeba dawa za kulevya

Mtuhumiwa wa dawa za kulevya na mauaji mbaroni

Profesa Adolf Mkenda, Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia

Mkakati mpya wa kuajiri walimu watangazwa Tanzania

Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Fedha, Bi. Amina Khamis Shaabani, akiagana na Waziri wa Kodi wa Denmark, Mhe. Jeppe Bruus, baada ya kikao kando ya Mikutano ya Mwaka 2024 ya Bodi ya Magavana (Mawaziri wa Fedha kutoka nchi wanachama) wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB), Jijini Nairobi nchini Kenya.

Tanzania & Dernmark zitaboresha ya mifumo ya kodi

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mheshimiwa January Makamba

Ziara ya Rais Samia Korea kuanza rasmi Mei 31 2024

Bw. Nazar Nicholas (katikati) akikabiziwa tuzo ya WSIS 2024

Tanzania yashinda Tuzo WSIS 2024, nchini Uswisi