Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

UKAWA walalamikia hujuma katika utoaji matokeo

Jumatano , 28th Oct , 2015

Vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) wametoa tamko lao la kupinga matokeo yanayotolewa na tume na kudai mchakato huo umejaa hujuma dhidi yao ikiwa ni pamoja na kukamatwa kwa wataalamu wa IT.

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ambae pia ni Mwenyekiti Mwenza wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA)Freeman Mbowe.

Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam mwenyekiti mwenza wa umoja huo ambaye chama chake ndicho kilichomsimamisha mgombea urais Mh. Freeman Mbowe amesema mgombea wao anafanyiwa hujuma ikiwa ni pamoja na kuingiliwa kwa mchakato wa utoaji matokeo.

Aidha Mh. Mbowe amesema kuwa kitendo cha jeshi la polisi kuwakamata wataalamu wao ambao walikuwa wakisadia kukusanya matokeo hakikubaliki huku akisisitiza hii leo umoja huo utaitisha mkutano kutoa tamko rasmi juu ya suala hilo.

Kwa upande wake makamu mwenyekiti wa CHADEMA, Prof. Safari amesema kuwa ushahidi walionao katika fomu zao unaonesha kuwa kuna baadhi ya maeneo tume imetoa matokeo ambayo hayaendani na yale waliyoyakusanya wao.

Naye mwenyekiti mwenza wa umoja huo ambaye pia ni mwenyekiti wa chama cha NCCR-Mageuzi Bw, James Mbatia amesema hujuma hizo wanazifanya hata kwenye utoaji matokeo ambapo mpaka sasa jimbo la Kigoma Kusini hawajatoa matokeo ikionesha dhahiri kuna udhalimu unaotaka kufanyika.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine