Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Ukiagizwa Kuku usilete wanaotoka nje"- Abdulsamad

Jumatano , 5th Mei , 2021

Mwenyekiti wa watoa huduma ya Mafuta na Gesi nchini Abdulsamad Abdulrahim, amewataka Watanzania kuwa waaminifu katiba biashara ili kuzidi kufungua fursa zaidi za kibiashara katika nchi jirani, kwani katika biashara ubabaishaji hautakiwi.

Mwenyekiti wa watoa huduma ya Mafuta na Gesi nchini Abdulsamad Abdulrahim

Kauli hiyo ameitoa hii leo Mei, 5, 2021, kupitia kipindi cha SupaBreakfast cha East Africa Radio, ikiwa ni miongoni mwa wafanyabiashara walioongozana na ujumbe wa Rais Samia Suluhu Hassan, katika ziara yake ya kikazi nchini Kenya ambayo aliianza jana.

"Katika maeneo ya ufugaji Watanzania tusilalamike kwamba hatupewi fursa, fursa zipo zinakuja lakini je tuna vigezo, siyo unaambiwa leta Kuku 1,500 wa kienyeji halafu unaleta Kuku 200 halafu 1,000 unawapachika wale wa kutoka nje vitu hivi havitakiwi, tubadilike, tuwe wakweli", amesema Abdulsamad

Aidha ameongeza kuwa, "Nitoe wito kwa Watanzania wenzangu, viongozi wa nchi wanafanya wajibu wao, sisi imefika wakati wa kushirikiana na ndugu zetu Wakenya katika kuangalia ule mnyororo wa thamani nini tunaweza kufanya ama kushirikiana nao". 

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA