Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ukosefu wa maji unavyovunja ndoa za watu Babati

Jumamosi , 23rd Mar , 2024

Wananchi zaidi ya 2,400 kutoka kijiji cha GIDABAGHARA wilaya ya Babati mkoani Manyara wanaounda kaya takribani 500 wamesema kukosekana kwa huduma ya maji safi na salama kijiji hapo kumeleta athari hasi kama vile kudhorota kwa amani, kuvunjika kwa ndoa na wengine kupata ujauzito.

Chanzo cha Maji ya Kisima

Wakizungumza na EATV baadhi ya wananchi wameleza kuwa changamoto hiyo ambayo imedumu kwa miaka kadhaa sasa inakwenda kuondoka na wao kunusuru ndoa zao, kuondokana na athari za vifo vilivyotokana na maradhi ya mlipuko baada ya kutumia maji ya visima ambayo si safi na salama. 

Kwa upande wake Mkuu wa Mkoa wa Manyara Queen Sendiga wakati akifungua mradi wa maji wenye gharama ya zaidi ya TZS. milioni 290 uliowezeshwa na shirika la World Vission ameielekeza mamlaka ya RUWASA mkoani humo kuhakikisha zoezi la usambazaji wa maji kupitia mradi huo linakuwa na gharama nafuu kwa wananchi.

Kwa upande wake Meneja wa Shirika la World Vission Kanda ya Kaskazini anaeleza kuwa mradi huo umesaidia kupunguza mwendo wa zaidi ya saa moja kwa wananchi kuyafuata maji na sasa wakiyapata maji hayo kwa dakika tano mpaka kumi.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali