Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Undani wa sheria ya ugaidi Tanzania

Alhamisi , 16th Sep , 2021

Wakili Edson Kilatu amesema tangu mwaka 2001 baada ya Marekani kushambuliwa na Al Qaeda, dunia iliingia kwenye ajenda ya kupambana na ugaidi, ambapo Tanzania ilianzisha sheria mwaka 2002.

Wakili Edson Kilatu

Kilatu ameyasema hayo leo Septemba 16, 2021 kwenye kipindi cha Supa Breakfast kinachoruka East Africa Radio Jumatatu mpaka Ijumaa saa 12:00 hadi 4:00 asubuhi.

''Kwa mujibu wa sheria yetu ya ugaidi ya mwaka 2002 kifungu cha pili kinazungumzia sheria hii kwa upande wa Tanzania inatumika Bara pamoja na Zanzibar pia sheria hii inaruhusu hata makosa ambayo yamefanyika nje ya mipaka ya Tanzania,'' amesema Wakili Edson kilatu.

Aidha Wakili Edson ameongeza kuwa, ''Hivyo kwa mujibu wa sheria hii hata kama mtu amekamatwa nje ya mipaka ya Tanzania anaweza kufikishwa kwenye Mahakama kuu Tanzania au Mahakama kuu Zanzibar''.

Pia amesema kuwa ili mtu aweze kushitakiwa kwa kosa la ugaidi ni lazima Mkurugenzi wa Mashtaka aweze kuridhia mtu husika afunguliwe mashtaka na kuongeza kuwa kifungu cha nne cha sheria ya ugaidi ndio kina ainisha ni makosa gani au mambo gani yanaweza kupelekea kosa la ugaidi kwanza kufanya kitu chochote kinachoweza kupelekea hujuma au uharibifu kwa nchi ama shirika la kijamii.
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava