Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

UPDP yazindua kampeni zake rasmi

Jumamosi , 19th Sep , 2020

Mgombea wa Urais wa Chama cha United Peoples Democratic Party, (UPDP) Twalib Ibrahim Kadege amezindua rasmi kampeni za urais za chama hicho huku akisema siku za mwanzo endapo watachaguliwa  wataanza kupambana na rushwa.

Kulia ni mgombea urais wa chama cha UPDP Twalib Kadege na kulia ni mgombea mwenza Ramadhani Ali Abdallah

Akiwa anawahautubia wananchi hii leo, Septemba 19, katika wilaya ya Kilwa Mkoani Lindi ameweka wazi kuwa ilani ya chama chao inaeleza jinsi ya kupambana na rushwa huku kauli mbiu ya chama hicho ikiwa ni mperampera spidi.

"Mimi ilani yangu inasema Mperampera spidi narudia chama chetu kinasema kipaumbele chake mperampera spidi, sisi UPDP, mkituchagua tu tukikaa ikulu kazi ya kwanza kabisa ndugu zangu nikupambana na wala rushwa kwa sababu rushwa ni adui wa haki" alisema Twalib Kadege.

Aliendelea kufafanua kwa wananchi wa Kilwa,"Haya yote tunayo yalalamikia yanatokana na radhi ya rushwa, nchi yeyote duniani ikiwa na rushwa wananchi wake wanadhoofika, hawajiamani , hawajieliwi kwasababu ya rushwa hii ndio kero kubwa sana" alisema Twalib Kadege

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA