Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Utafiti Twaweza hauna Vigezo- Membe

Jumatatu , 17th Nov , 2014

Utafiti uliofanywa na taasisi ya twaweza juu nafasi ya mgombea uraii katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2015,umepingwa na mmoja wa mtu anayetajwa kuwa na nia ya kutaka kugombea nafasi ya urais, kupitia CCM.

Mjumbe wa halmashari kuu ya Taifa ya CCM,na mbunge wa mtama mkoani lini,ambaye pia ni Waziri wa mambo ya nchi za Nje na Ushirikiano wa Kimataifa,Mh, Bernad Membe

Mjumbe wa halmashari kuu ya Taifa ya CCM,na mbunge wa mtama mkoani lini,ambaye pia ni Waziri wa mambo ya nchi za nje na ushirikiano wa kimataifa,Mh, Bernad Membe anajitokeza mbela ya vyombo vya habari,nakupinga vikali utafiti huo kwa kile alichodai ni kukosa vigezo.

Aidha Mh, Bernard Membe anasema kuwa,utafiti huo haukuzingatia vigezo vya 531 na kuwa utafiti huo umekuja mapema,wakati ambapo hakuna chama kilichomtangaza mgombea wake,huku akidai kuwa utafiti huo umeleta changamoto nchini,huku akipinga kitendo cha kuchanganya wanachama hao toka vyama vyaCUF na CHADEMA vyama anavyovieleza kuanza kupoteza mwelekeo wa siasa ya ushindani.

Utafiti huo wa Twaweza uliotoka hivi karibuni umeonyesha kuwa Mh. Edward Lowassa Mbunge wa Monduli akiongiza kinyang'anyiro hicho huku akifatiwa na Mh. Pinda kwa Upande wa Chama cha Mapinduzi na Dkt. Wilbroad Slaa kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa