Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Utatuzi wa mgogoro wa Kitulo kuwa shirikishi

Jumanne , 9th Aug , 2022

Waziri wa Maliasili na Utalii Balozi Dkt. Pindi Chana amemuhakikishia Rais wa wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kuwa Wizara ya Maliasili na Utalii inaendelea kutekeleza maagizo aliyoyatoa ya kuhakikisha migogoro ya mipaka baina ya wananchi na Hifadhi za Taifa inatatuliwa haraka

Waziri Balozi Dkt. Pindi Chana ameyasema hayo, Wilayani Makete mara baada ya . Rais Samia kutaka kujua hali ya mgogoro wa mpaka kati ya Hifadhi ya Kitulo na wananchi wanaopakana na hifadhi hiyo.

Aidha, ameeleza kuwa licha ya kazi kubwa inayoendelea kufanywa na kamati  inayojumuisha Mawaziri 8 ya kutatua  migogoro, Wizara anayoiongoza ipo katika hatua nzuri ya kutafuta ufumbuzi wa kudumu ikiwashirikisha Wananchi na Serikali ya Wilaya.


Waziri Balozi Dkt. Chana ametoa rai kwa wananchi kuhakikisha wanazingatia na kuheshimu makubaliano na mipaka  iliyowekwa ili kuepuka kuibua migogoro mipya inayodhoofisha shughuli za uhifadhi wa Rasilimali adhimu za Urithi wa Utalii.
Rais Samia Suluhu Hassan yupo mkoani Njombe kwa ziara ya kikazi ya Siku mbili ambapo moja ya mambo aliyoyafanya ni pamoja na kufungua Barabara ya Makete Njombe.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava