Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Uteuzi wa maDC wagusa kila kada

Jumapili , 20th Jun , 2021

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan, aliwahi kunukuliwa kuwa katika kujenga nchi atateua watu kwa kujali uwezo wao katika kuisaidia nchi.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan.

Kauli hii imejidhihirisha kwenye uteuzi wa Wakuu wa Wilaya ambapo amegusa makundi mbalimbali huku watu wanaojihusisha na masuala ya Kijamii pamoja na wanasiasa wakipata nafasi.

Kwa upande wa Jamii uteuzi umemgusa Basilla Mwanukuzi ambaye ni mshindi wa Miss Tanzania miaka ya nyuma na kwa muda mrefu amekuwa akishughulika na masuala ya ustawi wa wanawake huku kwasasa akiwa ni mwandaaji wa shindano la Miss Tanzania. Amekuwa Mkuu wa Wilaya ya Korogwe Tanga.

Wanasiasa chipukizi nao hawajaachwa nyuma ambapo wapo Mbunge wa zamani Halima Bulembo ambaye ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Muheza.

Aidha wapo pia mbunge wa zamani Peter Lijualikali, ambaye ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Nkasi.

Aliyewahi kuwa mbunge wa Arumeru Mashariki Joshua Nassari pia ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Bunda mkoani Mara.

Mwanasiasa na Mwanasheria Albert Msando pia ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Morogoro.

Chini ni orodha kamili ya Wakuu wa Wilaya.

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu