Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Uteuzi wa majimbo UKAWA ulizingatia vigezo-Mbowe

Jumamosi , 19th Sep , 2015

Mwenyekiti mwenza wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya wananchi nchini Tanzania UKAWA Bw. Freeman Mbowe amesema uteuzi wa wagombea wa ubunge katika majimbo kwa kushirikisha umoja huo ulizingatia uwezo wa mgombea husika na sifa alizokuwa nazo.

Mwenyekiti mwenza wa vyama vinavyounda Umoja wa katiba ya wananchi nchini Tanzania UKAWA Bw. Freeman Mbowe

Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam Mbowe amewataka wale wanaolalamika kwamba wameonewa kuacha kufanya hivyo kwa kuwa tathimini ilishafanyika na kuonekana kwamba wao hawana uwezo wala sifa za kupewa majimbo hayo..

Amesema katika UKAWA hakuna mtu atakayeonewa eti kwa sababu tu zisizo na msingi bali atachaguliwa kutokana na uwezo wake na matakwa ya wananchi hivyo wale wote ambao hawakuchaguliwa hawajaonewa bali uwezo wao umeenekana ni mdogo.

Aidha Mh. Mbowe ameongeza kuwa kesho kutakuwa na uchangishaji wa fedha katia ukumbi wa Mlimani City kwa ajili ya kuwawezesha kuendelea na kupiga kampeni za urais kuweza kumalizia katika mikoa iliyobaki.

Pia Mh. Mbowe amesema ratiba ya Mh. Edward Lowassa kesho itaanza Gongolamboto na baadae mchana atahutbia Mbagala Zakiem na kumalizia katika ukumbi wa mikutano Mlimani City.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mheshimiwa January Makamba

Ziara ya Rais Samia Korea kuanza rasmi Mei 31 2024

Bw. Nazar Nicholas (katikati) akikabiziwa tuzo ya WSIS 2024

Tanzania yashinda Tuzo WSIS 2024, nchini Uswisi

Dkt. Selemani Jafo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira).

Hati miliki ardhi za kimila 4,450 kutolewa Mei 29

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20