Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

UWT wahimizwa kusimamia fedha za miradi

Jumapili , 29th Jan , 2023

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wanawake Tanzania (UWT) Taifa, Mary Chatanda amewataka viongozi wa Umoja wa Wanawake Tanzania kusimamia vizuri fedha za miradi ya maendeleo zilizotolewa kwenye mikoa mbalimbali na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt.Samia Suluhu Hassan

Ameyasema hayo wakati wa Maadhimisho ya Miaka 46 ya Chama cha Mapinduzi yaliyofanyika katika uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza.

Amesema wabunge, madiwani na watendaji wengine kuanzia ngazi ya kata wanatakiwa kushirikiana na viongozi wa Serikali kuhakikisha fedha za miradi ya maendeleo zinatekeleza miradi hiyo ipasavyo.

Aidha, amewataka wanawake kuhakikisha wanaelimisha wananchi juu ya miradi mbalimbali ya maendeleo iliyotekelezwa na Mheshimiwa Rais katika maeneo yote nchini ili wawe na uelewa juu ya miradi hiyo.

Naye, Makamu Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Taifa, Zainab Shomari amewataka wanawake kuchangamkia fursa mbalimbali zinazojitokeza ili kujiinua kiuchumi.

Ameongeza kuwa ni vema wanawake wakafanya kazi kwa kupendana na kushirikiana kuhakikisha jumuiya ya UWT inakuwa imara.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe