Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

VIDEO: Kifo kimeumbwa - Jakaya Kikwete

Jumatatu , 17th Jul , 2017

Rais mstaafu wa awamu ya nne Dr.Jakaya Kikwete ameongoza waombolezaji kutoa salamu za pole kwa familia ya Waziri wa Habari ,Utamaduni, Sanaa na Michezo Dr.Harison Mwakyembe nakusema anamkumbuka marehemu Lina Mwakyembe kwa uchapakazi na ushirikiano

Dkt. Kikwete amesema hayo muda mchache alipowasili nyumbani kwa Mwakyembe Kunduchi Jijini Dar es Salaam ambapo shughuli za mazishi zinafanyika kabla ya kuondoka kuelekea mkoani Mbeya kwa maziko siku ya kesho (Jumanne).

"Nimekuja kumpa pole Harrison, tunafahamiana muda mrefu na mkewe alipokuwa anaugua pale Muhimbili nilikuwa naenda kumtembelea lakini juzi nilivyokuwa kijijini ndiyo nimepata taarifa za mama yetu ametutoka. Ni msiba wetu sote tunaelewa majonzi yake, uchungu aliyokuwa nao yeye na familia yake lakini kifo kimeumbwa na Mwenyezi Mungu kinapotokea sote ni tunatakiwa tumshukuru Mwenyezi Mungu", amesema Mzee Kikwete.

Aidha, viongozi wengine tofauti na Mzee Kikwete walioweza kufika na kutoa salamu zao pole ni pamoja na Spika wa Bunge Mstafu Anna Makinda, Waziri wa  Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Dr. Hussein Mwinyi, Naibu Waziri wa Fedha na Mipango Dr. Ashatu Kijaji, DPP Biswalo Mganga, Mwenyekiti Mstaafu wa Tume ya Uchaguzi NEC Jaji Damian Lubuva na viongozi wengine kutoka kwenye Taasisi na Nchi mbal;imbali walifika.

Kwa upande mwingine, ratiba ya kuaga mwili wa marehemu itafanyika kesho kama ilivyopangwa katika kanisa la KKT Kunduchi  na kuagwa nyumbani Kunduchi wakiongozwa na Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan.

Mtazame hapa Mzee Kikwete akitoa salamu zake.

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu