Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Vijana waaswa kuacha ngono maana sio Mlo kamili

Jumapili , 1st Dec , 2019

Mwenyekiti wa Baraza la watu wanaoishi na Ukimwi hapa nchini (NACOPHA), Leticia Kapela, amewataka vijana kujiepusha na ngono isiyo salama, sanjari na kuwaonya vijana wanaopenda kujihusisha kimapenzi na watu wazima hii ni kutokana na kuwepo kwa ongezeko kubwa la vijana wanaoishi na ugonjwa

Hayo ameyabainisha leo Desemba 1, 2019, Jijini Mwanza, wakati wa kilele cha Maadhimisho ya siku ya Ukimwi duniani na kuwataka wanaume watu wazima, wanaowarubuni mabinti kuingia nao katika mahusiano ya kimapenzi waache tabia hiyo.

"Vijana tutumie kinga sababu nikisema watu muache hamuelewi kabisa, acheni ngono, kwani lazima ufanye? mmeambiwa hicho ni chakula ambacho ukiacha kukila utapata Utapiamlo?, lakini pia kuna tabia ya vijana wadogo kuomba kulelewa na wanawake watu wazima kama mimi, unakuta kijana anakufuata anaomba umlee unamuuliza kwani wewe huna wazazi?" amesema Leticia.

Aidha Mwenyekiti huyo ametoa rai kwa jamii nzima, kuacha kutumia neno waathirika pindi wanapowaita watu wenye Virusi vya Ukimwi.

"Sisi watu tunaoishi na Virusi vya Ukimwi, tumekuwa tukikwaza na neno kuitwa waathirika, neno waathirika lina unyanyapaa ndani yake, ambao ni tishio kuliko Virusi vya Ukimwi vyenyewe, tungependa tuitwe watu wanaoishi na Virusi vya Ukimwi, kwasababu hakuna aliyetuma maombi ya kuomba ugonjwa huu", amesema Leticia.

 

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu