Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Viongozi wa Dini watoa ujumbe huu kwa wagombea

Jumatano , 21st Oct , 2020

Katika kuelekea Uchaguzi Mkuu Oktoba 28, 2020, wanasiasa wameaswa kutotumia lugha za matusi, vitisho na kejeli ili kumaliza mchakato huo salama bila kuivuruga amani iliyopo nchini.

Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhadj Mussa.

Hayo yameelezwa na viongozi wa dini mbalimbali nchini, katika Kongamano la Amani la Viongozi wa Dini Jijini Dar es Salaam ambapo wamesema kuwa wagombea wanahitaji kuwaunganisha wapiga kura na sio kuwaganya.

Aidha, viongozi hao wamewahimiza wanasiasa kusameheana katika kipindi hiki kwani amani na umoja ndio mtaji wa maendeleo ya taifa.

"Katika kipindi hiki ni lazima kusameheana kwa wale waliokwaruzana kwenye kampeni sameheaneni ili tuvuke salama katika mchakato huu. Amani na Umoja ndio mtaji wa Maendeleo", amesema Askofu Malasusa.

"Wagombea tunawasihi wamtangulize Mungu na hata ukikosa tambua ya kuwa ni kheri kwako", amesema Sheikh Alhad.

"Tujitahidi kutumia kauli zenye busara katika kipindi hiki, tuepushe maneno yatakayoweza kuhatarisha Amani yetu katika kipindi cha Uchaguzi Mkuu", amesema Askofu Kakobe.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava