Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

'Viongozi wananiuliza kama mzee analala' - Makonda

Jumanne , 11th Feb , 2020

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda, ameendelea kumpongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Mgufuli kwa utendaji wake wa kazi na kwamba imefikia hatua hadi viongozi wa dini wanamuuliza kama Rais huwa analala kweli.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda

Makonda ameyabainisha hayo leo Februari 11,2020, wakati wa uzinduzi wa Wilaya ya Kigamboni kwa kuzindua ofisi ya Mkurugenzi, Mkuu wa Wilaya na Jengo la Utawala pamoja na Hospitali kubwa ya Wilaya.

'Viongozi wa dini kila siku wananiambia hivi mzee analala kweli, nawaambia analala kwa maombi yenu, unawaza Watanzania kuliko hata familia yako, unatufundisha ambayo hatukuwahi kujifunza, zamani tulikuwa tunanyosha mti kumbe kimvuli kimepinda, Mh Rais hata sisi vimvuli tumenyooka' amesema Makonda.

Aidha Makonda amewataka wakazi wa Jiji la Dar es Salaam kuhakikisha siku ya Februari 14, wanajitokeza kwa wingi katika zoezi la uhuishaji wa taarifa zao katika daftari la mpiga kura 

 

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali