Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Waandamana kisa Rais Magufuli,RC awajia juu

Jumamosi , 16th Feb , 2019

Serikali ya Mkoa wa Manyara imewataka wachimbaji wadogo wa migodi ya madini ya Tanzanite yaliyopo Mererani wilayani Simanjiro mkoani, kuacha kusambaza taarifa za uongo kuhusu utoroshaji wa madini ya Tanzanite kutokana na taarifa hizo kuisababishia hasara Serikali inapozifanyika kazi.

Kauli hiyo imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Manyara Alexander Mnyeti alipokuwa akipokea maandamano ya amani ya wachimbaji wadogo waliokuwa wakimpongeza Rais kwa kupunguza baadhi ya kodi zilizokuwa kero kwao katika mchakato mzima wa uchimbaji na uuzaji wa madini ya Vito.

Akizungumza na wananchi, wachimbaji, madalali pamoja na viongozi wa Chama Cha Wachimbaji madini mkoani humo (MAREMA), Mkuu wa Mkoa wa Mnyeti amewataka wachimbaji hao kuacha kulazimisha njaa zao kuwa njaa za taifa.

Kwa upande wao baadhi ya wachimbaji wakubwa kwa wadogo wakiwemo Wakurugenzi wa Kampuni ya Tanzanite One, Faisal Juma na mbunge wa Simanjiro James Milya wakitoa salam zao kwa kusema dhamana aliyoitoa Rais Magufuli kwao wataichunga na kuienzi kwa kulipa kodi stahiki kikamilifu .

Katika muswada  uliopelekwa bungeni kwa hati ya dharura kwa ajili ya marekebisho ya sheria ya madini baadhi ya tozo zilizoondoleea ni kodi ya huduma asilimia 5 na kodi ya ongezeko la thamani asilimia 18 ili kuleta ahuweni kwa wafanyabiashara ya madini

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu