Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wadau wahimiza riadha kukuza uchumi,uwekezaji

Jumapili , 20th Sep , 2020

Katika kuhakisha uwepo wa ushiriki wenye tija kiuchumi taasisi na mashirika yametakiwa kuweka mikakati ya kukutana ili kujenga ushirikiano pamoja na kubadilishana ujuzi ili kuendeleza huduma mbalimbali wanazotoa.

Watangazaji wa East Africa Television na East Africa Radio, Donald Mtani, Tigana Lukinja na Ibra Kasuga wakiwa na zawadi baada ya kumaliza MasakiCorporateRun zilizofanyika uwanja wa Farasi, Oysterbay Jijini Dar es Salaam.

Wito huo umetolewa leo Jijini Dar es Salaam na washiriki mbio za Serengeti Lite Masaki Corporate ambazo zimekutanisha wadau wa kampuni mbalimbali ambapo licha ya mbio hizo kuimarisha afya iwapo zitaratibiwa mara kwa mara zinaweza zikaongeza tija katika uchumi wa nchi.

Kwa upande wake mjumbe wa kamati tendaji kutoka chama cha riadha na kocha wa riadha Idd Muhunzi amepongeza mkakati huo huku akiwataka waanzishaji wengine kuendelea kufuata sheria za usajili ili kusaidia kupatikana wakimbiaji bora ambao watashindanishwa katika matukio ya kitaifa.

Kwa upande wao wajasiriamali walioshiriki katika kuonesha na kuuza bidhaa zao katika tukio hilo wamesema ni fursa nzuri kwao kwani wanapata nafasi ya kukutana na wateja wao

"Ukweli ni kwamba hizi sio riadha tu ni fursa kubwa ya uwekezaji hapa na ni muhimu kila mwekezaji akaona thamani yake inapanda haswa baada ya kukutana na wadau na kufanya mahusiano ya kibiashara na kuendeleza shughuli zao kwa kuzingatia taratibu za sheria"Alisema Peace Robert ambaye ni mjasiriamali.

Mbio hizo zilizoshirikisha mbio za miguu na baiskeli zilidhaminiwa pia na East Africa Radio, ambapo baadhi ya watangazaji wa East Africa Radio na East Africa Television walishiriki.

HABARI ZAIDI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava

Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Patrobas Katambi

Wasimamizi wa uchaguzi waongezwe posho - Katambi