Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wafanyabiashara EU wawekeza dola bil 2 Tanzania

Alhamisi , 27th Oct , 2016

Wafanyabiashara wa nchi za umojan wa ulaya (EUBG) wamezindua ripoti inayotoa mwongozo kwa Tanzania ya namna ambavyo uwekezaji katika viwanda kwa nchi hizo utakavyoinufaisha nchi na kukuza maendeleo ya viwanda.

 

Akiongea na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa ripoti hiyo, Mwenyekiti wa wafanyabiashara wa nchi za Ulaya Bwana Mortan Juul amesema EUBG wataendelea kuwekeza Tanzania kwa miaka mingine 5 katika sekta ya madini, mafuta na gesi, utalii, nishati ya umeme, kilimo, TEHAMA, biashara na miundombinu.

Ripoti hiyo inaonesha kuwa kwa mwaka jana pekee nchi za Ulaya ziliwekeza kiasi cha Dola za Marekani bilioni mbili, ambapo katika viwanda wamewekeza kwa asilimia 68 ambapo ulipaji kodi wa makampuni yao makubwa inaonesha kuwa wameongeza mapato ya ndani.

Godfrey Simbeye

Naye  Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Sekta binafsi nchini, Bwana Godfrey Simbeye anasema ni vyema serikali ikaboresha sera na kuweka mazingira mazuri ili kuvutia wawekezaji ambao wataongeza kipato na kukuza soko la ajira nchini.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava