Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wafanyabiashara wapewa Onyo na zimamoto

Alhamisi , 3rd Sep , 2020

Jeshi la zimamoto na Uokoaji limetoa onyo kwa wafanyabiashara ambao huuza vifaa vya kuzimia Moto pasipo kuwa na kibali ama usajili maalum kwa kuwa vingine huuzwa vikiwa muda wake wa matumizi umeisha hivyo kuleta Adha kwa wananchi.

Rai hiyo imetolewa na Kamanda wa Mkoa wa Jeshi la zimamoto na uokoaji mkoa wa kizima moto Ilala mrakibu Msaidizi Elisa Mugisha Katika onesho maalum la jinsi gari yenye ujazo wa lita Elfu saba inavyomaliza maji kwa dakika chache hali ambayo mara nyingi huzua maswali mengi kwa wananchi pindi yatokeapo majanga.

" Leo tunataka jamii ya watanzania ijue kwamba gari yetu haiwezi kutoka kituoni bila kuwa na maji hii ni swali tuu ambalo wananchi wamekuwa wakiuliza na kusambaza kitu ambacho hakina ukweli Pana sababu nyingi za gari kumaliza maji kwa haraka ikiwemo aina ya moto wenyewe ambayo italazimisha kutumia njia nyingi,Kasi ya maji kubwa Ili kuzima moto kuwa haraka,hivyo wananchi wanatakiwa kuyajua haya"alisema ELISA MUGISHA-Mrakibu Msaidizi Jeshi la zimamoto na uokoaji Ilala.

Kamanda Elisa emesema kwa wafanya biashara ambao watabainika hawana usajili hatua kali za Kisheria zitachukiliwa dhidi yao kwa kuwa vifaa vya maokozi ni sio Kama bidhaa nyingine akiiasa jamii pia kuwa na tabia ya kusoma mwisho wa matumizi ya kifaa anachotaka kununua.

Kwa upande wao baadhi ya wananchi wamesema Hali hiyo inatokana na taharuki ambayo inakuwa imetanda mtaani kw a wakati wa majanga kiasi ambacho wengi hawajui masuala hayo ya kitaalam kuwa nini kinamaliza maji Ili hali gani inaonekana ni kubwa.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava