Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wafanyabiashara Zambia,Malawi wawaponza watanzania

Jumatano , 5th Dec , 2018

Kutokana na malalamiko ya wafanyabiashara wa nchi za Zambia na Malawi kutopatiwa risiti na wafanyabiashara wa Tanzania, serikali mkoani Songwe imewapa wafanyabiashara hao siku 4 kununua mashine za lisiti za EFD kuanzia wiki ijayo na atakayebainika hana mashine hiyo atachukuliwa hatua.

Meneja wa TRA Mkoa wa Songwe, Paul Walalaze ametoa agizo hilo baada ya kuwatembelea wafanyabiashara wa soko la Manzese lililopo katika mji wa Tunduma mkoani humo na kubaini wafanyabiashara wa soko hilo wanatumia vitabu vya risiti  badala ya mashine za kieletroniki.

Meneja amesema kuwa taarifa hizo wamezipata kutoka nchi jirani ya Zambia na Malawi ambapo wafanyabiashara wamekuwa wakipewa risiti feki.

www.eatv.tv imefika katika soko hilo na kuzungumza na baadhi ya wafanyabiashara  ambao wamepongeza hatua ya viongozi wa mapato kuwatembelea na kuwapa elimu huku wakiomba elimu hiyo isiishie Tunduma badala yake iwafikie na maeneo mengine.

Wakati huohuo mamlaka ya mapato TRA Mkoa wa Songwe imeongoza kitaifa kwa ukusanyaji mapato, ikiwa imevuka lengo walilokuwa wamepangiwa.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava