Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wafuasi 14 wa CHADEMA kupandishwa kizimbani Iringa

Alhamisi , 1st Oct , 2015

Wafuasi 14 wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) watapandishwa Mahakamani kwa mashtaka ya kuwafanyia vurugu wafuasi wa Chama cha Mapinduzi (CCM).

Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa Ramadhani Mungi.

Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa Ramadhani Mungi, amesema wafuasi hao waliwafanyia fujo wafuasi wa chama cha mapinduzi ccm wakati wakitoka katika kampeni za mgombea wa urais kupitia chama hicho.

Kamanda ameeleza kuwa kufuatia vurugu hizo jeshi la polisi lililazimika kutumia nguvu kuwatawanyisha watu hao ambapo 62 walishikiliwa na polisi na baadae 48 wakaachiliwa kwa dhamana huku 14 wakipandishwa kizimbani.

Aidha Kamanda Mundi amewataka wanasiasi kutumia kitabu cha maadili ya uchaguzi kwa kutoa elimu kwa wafuasi wa vyama vyote juu ya sheria ya ufanyaji wa kampeni ili kuepuka uvunjifu wa amani kwa kufanya kampeni za kistarabu.

Hata hivyo ameongeza kwa kutoa wito kwa wanasiasa wote pamoja na wafuasi kufuata sheria za kampeni na kuepusha vurugu zisizo na ulazima kutokana na kuwa siasa sio ugomvi.

HABARI ZAIDI

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90