Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wafukuzwa chuo kwa kuingilia mfumo wa ada Iringa

Alhamisi , 25th Mei , 2023

Jumla ya wanafunzi 50 wanaosoma kozi mbalimbali katika Chuo Kikuu cha Iringa wamelazimika kufukuzwa chuo baada ya kudukua mfumo wa ada na kukisababishia chuo hicho hasara ya zaidi ya milioni 30.

Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Iringa Profesa Ndelilio Urio

Makamu Mkuu wa Chuo hicho Profesa Ndelilio Urio amesema kubainika kwa udanganyifu wa wanafunz hao ni mra baada ya kubadilisha mfumo wa malipo kupitia control namba  nakubaini udanganyifu uliojitokeza kwa baadhi ya wanafunzi kughusi malipo na kukiibia chuo ambapo wanafunzi zaidi ya mia mbili walibainika huku baadhi yao wakifutiwa matokeo yao.

Katika hatua nyingine uongozi wa chuo hicho umekanusha tuhuma zilizotolewa na mbunge wa viti maalumu mkoa wa lindi Maimuna Ahmad Pathan, wakati akichangia hoja ya Wizara ya Elimu kwa madai kuwa chuo hicho kina uongozi dhaifu ,mfumo dhaifu wa ulipaji malipo na kuwatoza ada wanafunzi mara mbili.

Akitoa ufafanuzi juu ya tuhumu hizo Makamu Mkuu wa Chuo Profesa Urio amesema chuo hicho kina mfumo wa fedha ambao namba za kufanyia malipo hutengenezwa na kutumwa moja kwa moja kwa mwanafunzi husika kupitia barua pepe yake au namba ya simu.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava