Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Wagombea tunao" - vyama visivyowakilishwa bungeni

Jumamosi , 9th Nov , 2019

Mwenyekiti wa Umoja wa Vyama 11 visivyokuwa na wawakilishi bungeni, Abdul Mluya amesema kuwa watu waache kuwabeza kwakuwa wameamua kutosusia zoezi la Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na kwamba vyama hivyo tayari vinao wagombea.

Mkutano wa vyama 11 visivyokuwa na wawakilishi bungeni na waandishi wa habari

Kauli hiyo ameitoa leo Novemba 9, 2019, wakati akizungumza na EATV&EA Radio Digital, ambapo amesema katika umoja wao wapo wagombea ambao hawakukidhi vigezo na majina yao yametolewa kwa kuwa tu hawakujaza taarifa zao vizuri na hivyo nia yao kubwa ni kushiriki uchaguzi huo. 

"Wagombea tunao katika maeneo tofauti ambayo vyama vyote 11 vimepata, sisi hatupati ruzuku na ndio maana hatuwezi kujilinganisha na vyama ambavyo vinapata ruzuku, sisi tukipata hata 5 kwa uwezo wa vyama vyetu bado vinatosha.", amesema Mluya.

"Wenzetu wanafanya hivyo sababu wanaweza kusimamisha wagombea nchi nzima na wakipata wagombea 10 wanaona wamekosa, sisi tunadhani ni bora tupigane tupate ili tuondokane na hizo kauli za hao hao wanaotulalamikia kuwa hatuna wawakilishi pande zote, na huenda wataacha kutuita haya majina machafu wanayotuita.", ameongeza.

Aidha Mluya ametoa wito kwa vyama vilivyojitoa kushiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, kuwa suala la siasa linahitaji mikakati na akili na suala la kujitoa katika uchaguzi haoni kama ni mbinu sahihi badala yake ni kujitia hasara tu.
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava