Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wagombea watoweka na fomu za Ubunge

Jumamosi , 20th Apr , 2019

Msimamizi wa Uchaguzi katika jimbo la Arumeru Mashariki Emmanuel Mkongo amebainisha sababu ya aliyekuwa Mgombea wa Chama Cha Mapinduzi CCM, Dkt. John Palangyo kupita bila kupingwa kwenye uchaguzi wa Jimbo la Arumeru Mashariki, ni kwamba baadhi ya wagombea kutorudisha fomu za kuwania ubunge

Mbunge mteule Dkt John Pallangyo

Akitangaza sababu ya mgombea wa CCM kupita bila kupingwa Mkongo amesema, idadi kubwa ya wagombea walishindwa kufuata taratibu na sheria zinazoongoza kanuni za Uchaguzi wa Urais na Ubunge na Udiwani.

Emmanuel Mkongo amesema kuwa "wagombea watatu hawakuteuliwa kwa sababu hawakurudisha fomu, ambao ni Antonia Ndosi (DP), George Nashoini (CUF), na Msifuni Mwanga (TLP), fomu za wagombea wengine 7 zilirudishwa lakini zilikuwa na mapungufu ya kisheria."

"Mgombea wa SAU hakuteuliwa kwa sababu hakudhaminiwa na wapiga kura 25, na kushindwa kukidhi matakwa ya sheria ya uchaguzi, mgombea huyu pia hakulipa dhamana ya shilingi 50000." ameongeza Mkongo

"Mgombea Tirusbia Joseph wa UPDP mapungufu yake ni kutowasilisha picha kwenye fomu ya kuwania Ubunge, na yeye pia hakulipa gharama ya 50000." amesema Mkongo

April 19, 2019 Msimamizi huyo wa Uchaguzi alimtangaza aliyekuwa Mgombea wa CCM Dkt. John Palangyo kuwa Mbunge mteule wa Jimbo la Arumeru Mashariki na kurithi nafasi ya Joshua Nassari.

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu