Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Wagonjwa wa Corona walitaka kutoroka" - DC Ilala

Alhamisi , 23rd Apr , 2020

Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Sophia Mjema, amesema kuwa bado hajapata taarifa za waathirika wa Virusi vya Corona, waliopo katika kituo maalum katika Hospitali ya Amana, kama wametoroka na kurejea makwao ila anachojua walikuwa wanatishia kuondoka kwa madai ya kuwa hali zao kiafya ni nzuri.

Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Sophia Mjema.

Mjema ameyabainisha hayo leo Aprili 23,2020, wakati akizungumza na ITV, kufuatia taarifa mbalimbali zilizokuwa zikisambaa kwenye mitandao ya kijamii zikieleza kuwa, baadhi ya wagonjwa katika hospitali hiyo wameleta vurugu na wengine kutoroka.

"Bado hatuna taarifa ya wagonjwa katika Hospitali ya Amana waliotoroka na kupanda daladala kurejea makwao, ngoja tuifuatilie ila tunachojua ni kwamba walikuwa wanasema wanataka kurudi nyumbani, kifupi walikuwa wanatishia tu" DC Ilala, Sophia Mjema.

Aidha DC Mjema ameongeza kuwa "Kulikuwa na wagonjwa ambao walikuwa wamefika pale na kusema kuwa wao hawaumwi sana kwahiyo walikuwa wanataka waruhusiwe na unajua ukifika pale, ukiwa mshukiwa lazima ukae kidogo hospitali uangaliwe wakuone upo vizuri ndiyo uruhusiwe".

EATV&EA Radio Digital, ilimtafuta Mkuu huyo wa Wilaya kwa ajili ya kupanda undani wa taarifa hizo, ambapo alidai kuwa yupo kwenye kikao na akitoka basi atatupigia simu na kutueleza ni kipi kilichojiri na hatua zipi ambazo zimekwishachukuliwa hadi sasa.
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava