Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wahamiaji haramu 11 wakiri kosa mahakamani

Alhamisi , 19th Jan , 2017

Wahamiaji haramu 11 kutoka nchini Somalia leo wamepandishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha kwa kosa la kuingia nchini kinyume cha Sheria.

 

Waendesha Mashitaka wa Serikali kutoka idara ya uhamiaji,Jamila Ilomo na Aranyakira Kitosio, wamedai mahakamani hapo jana kuwa watuhumiwa hao walikamatwa Januari 11 mwaka huu, katika nyumba ya kulala wageni ya Olasiti, iliyopo eneo la Olasiti jijini Arusha.

Katika kesi hiyo namba 22 ya mwaka huu, mbele ya Hakimu Mkazi wa Mahakama hiyo, Nestory Barro, Jamila amedai kuwa watuhumiwa hao waliingia nchini kinyume na Sheria ya uhamiaji.

Amewataja watuhumiwa hao kuwa ni Mohamed Hassan (33), Said Omarisobla(22), Ally Abubakar(20), Mahad Ali Haashi(19), Sharif Khalif(18), Abdinasir Hassan Nur(22), Naima Abdala(23), Hudhan Abdi(18), Maimuna Ahmed (19), Mruaya Ahmed(28) na Irene Athuman(19).

Watuhumiwa hao walikiri kufanya kosa hilo na kesi hiyo kuahirishwa hadi Februari Mosi mwaka huu.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava